Pope Francis Kuondoka Hospitalini Jumamosi

Taarifa zaidi kutoka Vatican inasema Papa Mtakatizi ni mchangamfu na anaweza kula, kusali na kufanya kazi katika chumba chake maalum cha matibabu kilichoko ghorofa ya kumi ya hospitali ya Gemelli mjini Roma.
Iliesemekana kwamba Papa Francis alipelekwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi baada ya kulalamikia matatizo ya kupumua ila baadaye wahudumu katika hospitali hiyo walisema alikuwa ameambukizwa ugonjwa huo wa mkamba (crotch)