Msanii nyota nchini Jovial ameshindwa kuwavumilia wafanyibiashara wanaotumia picha za mastaa kwenye matangazo bila ridhaa yao.
Kupitia insta story kwenye mtandao wa Instagram mkali huyo wa sauti amewapa somo wafanyibiashara sampuli hiyo kwa kuwaita wabahili wa kutoa michongo kwa wasanii licha ya kuwa wanalipwa mkwanja mrefu na makampuni tofauti kufanikisha shughuli hiyo.
Hitmaker huyo wa “Mi Amor” amehapa kumchukulia hatua kali za kisheria mtu yeyote atakayejaribu kutumia picha yake bila idhini kwenye matangazo ikizingatiwa kuwa ametumia pesa nyingi kuitengeneza brand au chapa yake.
Hata hivyo amewataka walimwengu kuacha kasumba ya kutumia njia ya mkato kufanikisha michongo yao na badala yake amewaasa kutoa riziki kwa wenzao kutokana na uhitaji wa watu duniani kutaka kufanikisha ndoto zao maishani.
I am a young Kenyan male, highly experienced, innovative and creative, energized and motivated presenter with a strong determination to meet challenges and achieve stretching targets through the microphone. Am also a good organizer and a team player whose interest lie in digital marketing, creatively developing content for brands to communicate vision and mission to various target audiences. Additionally, I am keen on developing expertise and learn to implement a model of collaborative action and collective impact for systems change. I innovate using the Internet of Things to attain optimal outcomes in branding and digital communications. I can stay calm and behave in a reasonable way in difficult situations. I tend to work smart, and I can convey information clearly and concisely to others. I have confidence and a sense of authority which tends to put me in the role of a group leader. I can learn on the job and adapt to any situation. My key values are commitment, determination, reliability, and a high degree of personal integrity.
What talented message