Msanii Trio Mio amewajibu mashabiki zake ambao wanatilia shaka uwezo wake wa kuachia nyimbo kali baada ya kumaliza masomo yake ya kidato cha nne.
Kwenye mahojiano na Vincent Mboya amesema madai hayo hayana ukweli wowote kwa kuwa shule ndio ilikuwa kizingiti kwenye suala la kuachia nyimbo mfululizo, hivyo anaamini kuwa kukamilisha kwake masomo kutamsaidia kuelekeza nguvu zake kuboresha muziki wake.
Kauli yake imekuja baada ya walimwengu kuhoji kuwa huenda akakumbana na mambo yatakayomzuia kuendelea na muziki wake ikiwemo mahusiano ya kimapenzi na wanawake tofauti.
I am a young Kenyan male, highly experienced, innovative and creative, energized and motivated presenter with a strong determination to meet challenges and achieve stretching targets through the microphone. Am also a good organizer and a team player whose interest lie in digital marketing, creatively developing content for brands to communicate vision and mission to various target audiences. Additionally, I am keen on developing expertise and learn to implement a model of collaborative action and collective impact for systems change. I innovate using the Internet of Things to attain optimal outcomes in branding and digital communications. I can stay calm and behave in a reasonable way in difficult situations. I tend to work smart, and I can convey information clearly and concisely to others. I have confidence and a sense of authority which tends to put me in the role of a group leader. I can learn on the job and adapt to any situation. My key values are commitment, determination, reliability, and a high degree of personal integrity.