Home » Eddie Butita Ananunua Jaguar Ya Milioni 5

Mcheshi wa zamani wa Churchill Eddie Butita amenunua gari aina ya Jaguar lenye thamani ya takriban milioni tano.
“Ni MUNGU 🙏🏼 hakuna lisilowezekana…”

Kwa mujibu wa Butita gari hilo ambalo ni toleo la 2017 huenda kwa angalau milioni 4.5.

Watu mashuhuri wametoa maoni ya kumpongeza, wakisema anastahili.
blessednjugush: Bro you deserve this and more….naona rangi ata umeamua ya white!!!!! Budah unastahili bora jamani!!!!!!!!!!!

@director_trevor: Hongera Big Man💯

@liz_j.a.ckson: Hongera sana mdosi.

@marya_okoth: MASTERRRRRRRRR!!!!!🔥🔥🔥🔥UNASTAHILI.

@clark254_: Watu mnatoa wapi pesa na wakenya tunalia unga!? 😮 hongera lakini mkuu, unastahili.

@panaijosh: Hongera kaka unastahili kila kitu katika maisha haya🙌🙌❤️

@its_wambui_mainah: Eeish hongera sana bw.director👏🏾👏🏾

About The Author

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!