Home » Southampton Yapiga Breki Makali Ya Tottenham Ligi Kuu EPL

Southampton Yapiga Breki Makali Ya Tottenham Ligi Kuu EPL

Hatima ya Tottenham ya kumaliza katika nafasi nne bora kwenye Ligi ya Premia ilitibuka baada Southampton kulazimish  sare ya 3-3 siku ya Jumamosi, huku Leeds wakiongeza matumaini yao ya kunusurika kwa ushindi wa 4-2 dhidi ya Wolves.

 

Spurs walionekana kuwa tayari kuipiku Manchester United hadi nafasi ya tatu walipoongoza kuwa mbele magoli 3-1 zikiwa zimesalia dakika 13 pekee mchezo kumaliza

 

Lakini bao la kwanza la Theo Walcott katika takriban miaka miwili na mkwaju wa penalti wa dakika za majeruhi wa James Ward-Prowse uliipa Southampton muhimu

Hata hivyo droo hiyo inaiwacha southamptom katika nafasi mbaya zaidi kwani bado wanaburura mkia na kuwa hatarini kushushwa ngazi.

Tottenham wanashikilia nafasi  4 kwa sasa na alama 49, alama moja nyuma ya machester unite wanaoshikilia nafasi ya tatu.

About The Author

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!